Nehemia 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Nikawaelezea jinsi Mungu alivyokuwa pamoja nami akinitendea kwa wema wake. Nikawaelezea vilevile maneno ambayo mufalme alikuwa ameniambia. Wao waliposikia hayo, wakasema: “Sasa, na tuanze kazi ya ujenzi.” Hivyo wakajitayarisha kwa kazi hiyo njema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |