Nehemia 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Wakati mambo haya yalipokuwa yanatendeka mimi sikukuwa Yerusalema; maana katika mwaka wa makumi tatu na mbili wa utawala wa mufalme Artasasta wa Babeli, nilikuwa nimeomba ruhusa; nami nikaenda kwake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |