Nehemia 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 alimuruhusu Tobia kutumia chumba kikubwa ambamo pale mbele walikuwa wakiweka sadaka za unga, ubani, vyombo, zaka za unga, divai, mafuta; vitu hivyo vyote Waisraeli walivyoagizwa kutoa kwa Walawi, waimbaji, walinzi wa milango, na matoleo kwa makuhani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |