Nehemia 13:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Halafu, nikaamuru kwamba milango ya Yerusalema ifungwe wakati siku ya Sabato inapoanza magaribi, wakati giza linapoanza kuingia, na isifunguliwe mpaka Sabato imekwisha. Nikaweka watumishi wangu wamoja kwenye milango na kuwaagiza kwamba kitu chochote kisiletwe katika muji siku ya Sabato. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |