Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 12:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 kwa sababu walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, kama vile waimbaji walivyoimba hata walinzi wa milango kulingana na agizo la mufalme Daudi na mwana wake Solomono.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 12:45
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Kazi yao ilikuwa ni kuwasaidia makuhani wa ukoo wa Haruni katika kazi ya kujenga nyumba ya Yawe, kutunza viwanja na vyumba, kusafisha vyombo vitakatifu vyote na kufanya kazi zinazoelekea kujenga nyumba ya Yawe.


Selomoti na wandugu zake, ndio waliokuwa waangalizi wa hazina zote za vitu vitakatifu ambavyo mufalme Daudi alitoa kwa Mungu, viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu na mamia na majemadari wa jeshi.


Asikubaliwe mutu mwingine yeyote kuingia ndani ya nyumba ya Yawe isipokuwa makuhani tu pekee na wale Walawi watakaokuwa wanatumika. Hao wanaweza kuingia kwa sababu wao ni watakatifu, lakini wale watu wengine wote, watatii amri ya Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ