33 Pamoja naye walikwenda Azaria, Ezra, Mesulamu,
Hakuna aliyepinga mupango huu, isipokuwa tu Yonatani mwana wa Asaeli na Yazeya mwana wa Tikwa, nao wakaungwa mukono na Mesulamu na Mulawi Sabetayi.
Waimbaji hao walifuatwa na Hosaya akiwa pamoja na nusu ya viongozi wa Yuda.
Yuda, Benjamina, Semaya na Yeremia.