Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 12:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Walinzi wa milango walikuwa: Matania, Bakubukia, Obadia, Mesulamu, Talmoni na Akubu; vilevile hao walikuwa walinzi wa gala.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 12:25
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Kwa hiyo, ilikuwa ni kazi yao kutunza hema la kusanyiko na Pahali Patakatifu, na kuwasaidia wandugu zao makuhani, wazao wa Haruni, kwenye ibada katika nyumba ya Yawe.


Hao walinzi wa milango waligawanyika katika makundi kulingana na jamaa zao, nao vilevile walipangiwa kazi kwenye nyumba ya Yawe kama wale Walawi wengine.


Obedi-Edomu akaangukiwa na kura ya mulango wa upande wa kusini. Wana wake wakaangukiwa na kura ya gala.


Kila siku upande wa mashariki kulikuwa walinzi sita, kaskazini wane, na kusini wane, vilevile kwenye gala kuliwekwa walinzi wawili wawili;


Akifuata maagizo ya Daudi baba yake, alipanga zamu za kila siku za makuhani na za Walawi waliowasaidia makuhani kusifu na kutimiza kazi zao. Vilevile aliwapanga walinzi wa milango katika makundi aliyoweka kwa kulinda kila mulango; maana ndivyo Daudi, mutu wa Mungu alivyoamuru.


Kisha, huyo mulinzi akalalamika: Bwana, nimesimama juu ya munara wa ulinzi muchana kutwa, nimeshika zamu usiku kucha!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ