Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 12:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12-21 Yoyakimu alipokuwa Kuhani Mukubwa, makuhani hawa walikuwa wakubwa wa ukoo zao: ukoo wa Seraya: Meraya; ukoo wa Yeremia: Hanania; ukoo wa Ezra: Mehulamu; ukoo wa Amaria: Yehohanani; ukoo wa Maluku: Yonatani; ukoo wa Sebania: Yosefu; ukoo wa Harimu: Adina; ukoo wa Meraioti: Helkayi; ukoo wa Ido: Zakaria; ukoo wa Ginetoni: Mesulamu; ukoo wa Abiya: Zikiri; ukoo wa Miniamini: ukoo wa Moadia: Piltai; ukoo wa Bilga: Samua; ukoo wa Semaya: Yehonatani; ukoo wa Yoaribu: Matenayi; ukoo wa Yedaya: Uzi; ukoo wa Salayi: Kalayi; ukoo wa Amoki: Eberi; ukoo wa Hilkia: Hesabia; ukoo wa Yedaya: Netaneli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 12:12
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akawaambia: “Ninyi ni viongozi wa ukoo za Walawi. Mujitakase pamoja na wandugu zenu, mupate kuleta Sanduku la Agano la Yawe, Mungu wa Israeli, mpaka pahali ambapo nimelitayarishia.


Kwa vile ambavyo kulipatikana viongozi wanaume wengi zaidi kati ya wazao wa Itamari, wakawagawanya wana wa Eleazari chini ya viongozi kumi na sita, na wana wa Itamari chini ya viongozi wanane.


Wakati wa Eliasibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakubwa wa jamaa za Walawi waliandikwa; vilevile wakati wa utawala wa mufalme Dario wakubwa wa jamaa za makuhani waliandikwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ