Nehemia 12:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212-21 Yoyakimu alipokuwa Kuhani Mukubwa, makuhani hawa walikuwa wakubwa wa ukoo zao: ukoo wa Seraya: Meraya; ukoo wa Yeremia: Hanania; ukoo wa Ezra: Mehulamu; ukoo wa Amaria: Yehohanani; ukoo wa Maluku: Yonatani; ukoo wa Sebania: Yosefu; ukoo wa Harimu: Adina; ukoo wa Meraioti: Helkayi; ukoo wa Ido: Zakaria; ukoo wa Ginetoni: Mesulamu; ukoo wa Abiya: Zikiri; ukoo wa Miniamini: ukoo wa Moadia: Piltai; ukoo wa Bilga: Samua; ukoo wa Semaya: Yehonatani; ukoo wa Yoaribu: Matenayi; ukoo wa Yedaya: Uzi; ukoo wa Salayi: Kalayi; ukoo wa Amoki: Eberi; ukoo wa Hilkia: Hesabia; ukoo wa Yedaya: Netaneli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |