Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wazao wote wa Peresi waliokaa katika Yerusalema walikuwa wanaume mashujaa mia ine makumi sita na wanane.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 11:6
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini yule mutoto alipourudisha mukono wake ndani, ndugu yake akazaliwa wa kwanza. Muzalishaji akasema: “Mbona wewe umepita kwa nguvu?” Kwa hiyo akaitwa Peresi.


Katika kabila la Yuda, kulikuwa: Utai mwana wa Amihudi na mujukuu wa Omuri. Naye Omuri alikuwa baba ya Imuri na mujukuu wa Bani, wa wazao wa Peresi mwana wa Yuda.


Maseya mwana wa Baruku mwana wa Koli-Hoze mwana wa Hazaya mwana wa Adaya mwana wa Yoyaribu mwana wa Zekaria, Mushilo.


Watu wa ukoo wa Benjamina waliokaa katika Yerusalema ni: Salu, mwana wa Mesulamu mwana wa Yoedi mwana wa Pedaya mwana wa Kolaya mwana wa Maseya mwana wa Itieli na mwana wa Yesaya.


Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Sela, Peresi, na Zera.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ