Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 11:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Maseya mwana wa Baruku mwana wa Koli-Hoze mwana wa Hazaya mwana wa Adaya mwana wa Yoyaribu mwana wa Zekaria, Mushilo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 11:5
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akapata mutoto mwingine mwanamuke, akamwita Sela. Wakati Sela alipozaliwa, Yuda alikuwa Kezibu.


Wana wa Sela mwana wa Yuda, walikuwa: Eri, mwanzilishi wa muji wa Leka; Lada, mwanzilishi wa muji wa Maresa, ukoo wa wafuma nguo za kitani waliokuwa wakiishi katika muji wa Beti-Asibea;


Asaya wa uzao wa Silo, aliyekuwa muzaliwa wa kwanza wa jamaa yake, pamoja na wana wake.


Watu wamoja wa kabila la Yuda na wa kabila la Benjamina walikaa katika Yerusalema: Hawa ndio watu wa ukoo wa Yuda waliokaa Yerusalema: Ataya mwana wa Uzia, mujukuu wa Zakaria mwana wa Amaria mwana wa Sefatia mwana wa Mahalaleli wa uzao wa Peresi;


Wazao wote wa Peresi waliokaa katika Yerusalema walikuwa wanaume mashujaa mia ine makumi sita na wanane.


Mulango wa Chemichemi ukajengwa upya na Salumu mwana wa Koli-Hoze, mukubwa wa wilaya ya Misipa. Akaufunika, akauweka mulango kwa nafasi yake, akatia vyuma na vifungio vyake. Kwenye Kisima cha Sela akajenga ukuta unaokuwa karibu na bustani ya kifalme mpaka kwenye ngazi zinazoshuka toka muji wa mufalme Daudi.


Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Sela, Peresi, na Zera.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ