35 Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Wafundi.
Meonotai alizaa Ofura. Seraya alizaa Yoabu, mwanzilishi wa Bonde la Wafundi, lililopewa jina hilo kwa sababu wote waliokuwa mule walikuwa wafundi kabisa.
Wana wa Elipali walikuwa: Eberi, Misamu na Semedi ambaye alijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji kandokando yake;
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
Walawi wamoja wa Yuda wakachanganyika na watu wa Benjamina.
Sanibalati na Gesemi wakatuma ujumbe kwangu wakisema: “Tukutane kwenye kijiji kimoja katika bonde la Ono.” Lakini walikusudia kunizuru.
wa miji ya Lodi, Hadidi na Ono: mia saba makumi mbili na mumoja;
Petro alipokuwa akipita fasi zote katika majimbo yale, siku moja akawatembelea wanafunzi walioishi katika muji wa Luda.
Nao wakaaji wote wa Luda na bonde la Saroni walipoona jambo hilo wakamugeukia Bwana.