33 Hazori, Rama, Gitaimu,
Nyuma ya miaka miwili mizima, Abusaloma alikuwa na shuguli ya kuwakata kondoo wake manyoya katika muji wa Bali-Hazori, karibu na Efuraimu. Akawaalika wana wote wa mufalme.
Wakaaji wa Beroti walikimbilia Gitaimu, na wameishi kule kama wageni mpaka leo.
Wengine walikaa Anatoti, Nobu, Anania,
Hadidi, Seboimu, Nebalati,
“Sauti inasikilika toka Rama, kilio na malalamiko mengi. Ni Rakeli anayewalilia watoto wake, naye hataki kufarijiwa, kwa maana hawako tena.”
Kisha, alikuwa akirudi Rama, maana kule ndiko kulikuwa kwake. Aliwaamulia Waisraeli haki zao kule, na kumujengea Yawe mazabahu kule.