Zanoa na Adulamu pamoja na vijiji vilivyoizunguka, Lakisi na mashamba yanayouzunguka, na katika Azeka pamoja na vijiji vinavyouzunguka. Hii ina maana kwamba watu wa Yuda walikaa katika eneo linalokuwa kati ya Beri-Seba upande wa kusini na Bonde la Hinomu upande wa Kaskazini.
Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Zora, Estaoli, Iri-Semesi, Salabinu, Ayaloni, Itila, Eloni, Timuna, Ekuroni, Elteke, Gibetoni, Balati, Yehudi, Bene-Beraki, Gati-Rimoni, Me-Yarkoni na Rakoni na inchi iliyokuwa karibu na Yopa.