28 Wengine walikaa katika muji wa Ziklagi, Mekona na vijiji vilivyoizunguka.
Hazari-Suali na Beri-Seba pamoja na vijiji vilivyoizunguka.
Wengine walikaa katika miji ya Eni-Rimoni, Sora, Yarmuti;
Siku hiyo, Akisi akamupa muji wa Ziklagi. Kwa hiyo, tangu siku hiyo muji wa Ziklagi ukakuwa mali ya wafalme wa Yuda.