Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 11:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Petahia mwana wa Mesezabeli, wa ukoo wa Zera katika kabila la Yuda, alikuwa musimamizi wa mufalme juu ya mambo yote ya watu wa Yuda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 11:24
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu kwenye mukono, naye akaitwa Zera.


Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.


na Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mwangalizi wa waaskari walinzi wa Daudi; wana wa Daudi walikuwa na vyeo vikubwa katika utawala wake.


Kazi yao ilikuwa ni kuwasaidia makuhani wa ukoo wa Haruni katika kazi ya kujenga nyumba ya Yawe, kutunza viwanja na vyumba, kusafisha vyombo vitakatifu vyote na kufanya kazi zinazoelekea kujenga nyumba ya Yawe.


Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Meremoti mwana wa Uria, mujukuu wa Hakosi. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Mesulamu mwana wa Berekia, mujukuu wa Mesezabeli. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Zadoki mwana wa Bana.


Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Sela, Peresi, na Zera.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ