Nehemia 11:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Lakini watumishi wa hekalu walikaa Yerusalema katika eneo la Ofeli wakiwa chini ya usimamizi wa Ziha na Gisipa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Hizi ni ukoo za watumishi wa hekalu waliorudi kutoka katika uhamisho: Siha, Hasufa, Tabaoti, Kerosi, Siaha, Padoni, Lebana, Hagaba, Akubu, Hagabu, Semaya, Hanani, Gideli, Gahari, Raya, Resini, Nekoda, Gazamu, Uza, Pasea, Besayi, Asina, Munimu, Nefisimu, Bakuki, Hakufa, Harihuri, Basiluti, Mehida, Harsa, Barkosi, Sisera, Tema, Nezia, Hatifa.