Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 11:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Walinzi wa milango waliokaa katika Yerusalema walikuwa: Akubu na Talmoni pamoja na wandugu zao waliokuwa wakilinda milango, walikuwa mia moja makumi saba na wawili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 11:19
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Walawi wote waliokaa katika Yerusalema, muji mutakatifu, walikuwa mia mbili makumi munane na wane.


Watu wengine wa Israeli, makuhani na Walawi walikaa katika miji ya Yuda, kila mumoja katika urizi wake.


Walinzi wa milango walikuwa: Matania, Bakubukia, Obadia, Mesulamu, Talmoni na Akubu; vilevile hao walikuwa walinzi wa gala.


Walinzi wa milango walikuwa wazao wa: Salumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita, Sobayi. Walikuwa mia moja makumi tatu na wanane.


Ee Mungu, umwangalie huyo ngao yetu, upendezwe na huyo uliyemuchagua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ