Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nehemia 11:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Sabetayi na Yozabadi, wakubwa wa ukoo wa Walawi, walikuwa wasimamizi wa kazi za inje ya nyumba ya Mungu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nehemia 11:16
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kati ya Walawi, Ahia alielekea uangalizi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina na vitu vitakatifu.


Kati ya watu wa ukoo wa Isiari, Kenania na wana wake walipewa kazi za utawala kama kusimamia watu na waamuzi, kwa ajili ya Waisraeli.


Hakuna aliyepinga mupango huu, isipokuwa tu Yonatani mwana wa Asaeli na Yazeya mwana wa Tikwa, nao wakaungwa mukono na Mesulamu na Mulawi Sabetayi.


Katika siku ya ine, tukiwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tukapima ile feza, zahabu na vile vyombo, kisha tukavipatia kuhani Meremoti mwana wa Uria. Meremoti alikuwa pamoja na Eleazari mwana wa Finehasi, na Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yesua, na Noadia mwana wa Binui.


Nao Walawi waliokaa katika Yerusalema walikuwa: Semaya mwana wa Hasubu mwana wa Azirikamu mwana wa Hasabia, na mwana wa Buni.


na Matania mwana wa Mika mwana wa Zabudi, wa uzao wa Asafu, aliyekuwa kiongozi wakati wa kuomba maombi ya shukrani. Bakubukia alikuwa musaidizi wake. Pamoja nao kulikuwa Abuda mwana wa Samua mwana wa Galali wa uzao wa Yedutuni.


Walawi hawa ndio walisaidia kuwaelewesha watu Sheria: Yesua, Bani, Serebia, Yamini, Akubu, Sabetayi, Hodia, Maasea, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya; na kila mumoja akiwa akisimama pale alipokuwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ