Nehemia 1:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Ee Bwana, usikilize maombi yangu mimi mutumishi wako na ya watumishi wako wanaofurahia kukutii wewe. Ninakuomba unifanikishe leo, mimi mutumishi wako, na kunijalia kuhurumiwa na mufalme.” Mimi nilikuwa na madaraka ya kumupa mufalme kinywaji. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |