Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nahumu 3:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kisha wote watakaokuona watakukimbia wakisema: Ninawe umeangamizwa, ni nani atakayekuomboleza? Nani atakayekufariji?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nahumu 3:7
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hasara hizi mbili zimekupata: uharibifu na maangamizi; njaa na mauaji. Nani atakayekuonea huruma? Nani atakayekufariji?


Ni nani atakayewahurumia, enyi watu wa Yerusalema? Ni nani atakayeomboleza juu yenu? Nani atasimama kuuliza habari zenu?


Kwa hiyo Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli anasema hivi: Nitamwazibu mufalme wa Babeli na inchi yake, kama nilivyomwazibu mufalme wa Asuria.


Tulijaribu kuuponyesha Babeli, lakini hauwezi kupona. Muuache, tujiendee, kila mumoja katika inchi yake. Hukumu yake ni kubwa sana inafika mpaka katika mawingu.


Nikuambie nini, ee Yerusalema? Nikulinganishe na nini? Nikufananishe na kitu gani kusudi niweze kukufariji, ee Sayuni uliyekuwa muzuri? Maangamizi yako ni mengi kama bahari, ni nani atakayekuponyesha?


Ujumbe wa Mungu juu ya Ninawe. Kitabu cha maono ya Nahumu wa Elkosi.


Yawe atanyoosha mukono wake kwa kuazibu inchi ya upande wa kaskazini, na kuiangamiza inchi ya Asuria. Ataufanya muji wa Ninawe kuwa ukiwa, kuwa pahali penye kukauka kama jangwa.


Waisraeli wote wengine waliokuwa karibu waliposikia vilio vyao wakakimbia wakisema: Tukimbie, kusudi udongo usitumeze na sisi vilevile.


Watasimama kwa mbali kwa ajili ya kuogopa yale mateso yake, wakisema: “Ole, ole kwako ewe muji Babeli, muji mukubwa na wenye uwezo! Kwa saa moja tu azabu yako imetimia!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ