7 Vikingio vya mito vimefunguliwa, nyumba ya kifalme imejaa hofu.
Mujipige kifua kwa huzuni, muomboleze, juu ya mashamba yaliyokuwa mazuri, juu ya mizabibu iliyokuwa ikizaa sana,
Ninalia kama mbaruwayi, ninaugua kama njiwa. Macho yangu yamefifia kwa kuangalia juu. Ee Bwana, ninateseka; ukuwe wewe usalama wangu!
Tunanguruma kama dubu, tunaomboleza kama njiwa. Tunatazamia watu wanaofuata sheria ya Mungu, lakini hakuna, tunatazamia wokovu, lakini uko mbali nasi.
Ikiwa kuna watu walioponyoka, watakimbilia kwenye milima kama njiwa waliotishwa katika bonde. Kila mumoja wao ataomboleza kwa ajili ya zambi zake.
Sasa anawaita wakubwa wake, nao wanajikwaa wanapomwendea; wanakwenda kwenye ukuta kwa haraka kutayarisha ukingo.
Angalia, waaskari wako ni wanawake tu. Milango ya inchi yako ni wazi mbele ya waadui zako; moto umeteketeza kabisa vifungio vyake.
Petro alipokuwa angali chini ndani ya upango, mumoja wa watumishi wanawake wa Kuhani Mukubwa akafika pale.
Kundi kubwa la watu walimufuata. Kati yao kulikuwa wanawake waliokuwa wakijipigapiga kwenye kifua kwa huzuni na kumulilia.
Nalo kundi la watu waliofika kuangalia mambo yale, wakaona yote yaliyotokea. Kwa hiyo, wakarudia wakijipigapiga kwenye kifua kwa huzuni.