Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Nahumu 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mbona munafanya mipango juu ya Yawe? Yeye atawakomesha na kuwaangamiza, wala mupinzani wake hataweza kusimama tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Nahumu 1:9
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Amasa hakuona upanga uliokuwa katika mukono wa Yoabu. Basi, Yoabu akamuchoma Amasa upanga ndani ya tumbo, matumbotumbo yake yakatoka inje, akakufa. Yoabu hakumuchoma upanga mara mbili. Kisha, Yoabu na ndugu yake Abisayi wakaendelea kumufuatilia Seba mwana wa Bikiri.


Utawaangamiza wazao wao watoweke katika dunia; watoto wao hawatabaki kati ya wanadamu.


Yawe anavunja mipango ya mataifa, na anabadilisha mawazo yao.


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


Basi, ninyi musikuwe na mazarau vifungo vyenu visipate kukazwa zaidi. Maana nimesikia kwamba Yawe wa majeshi amekusudia kuiangamiza inchi yote.


Hivi ndivyo Babeli utakavyozama, wala hautainuka tena, kwa sababu ya hasara ambayo Yawe anauletea. Huu ndio mwisho wa maneno ya Yeremia.


Kisha nami nikasema: Ee Bwana wetu Yawe! Watu wanalalamika juu yangu na kusema: Huyu akisema, ni mafumbo tu!


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Mutapatwa na hasara! Hasara isiyoonekana bado!


Mimi ndimi niliyeiimarisha mikono yao, lakini wanafikiri maovu juu yangu.


Ndani yako kumetoka mumoja aliyepanga maovu juu ya Yawe. Huyu mutu anafanya shauri baya sana.


kuangusha vizuizo vyote watu wanavyojivunia kwa kupinga elimu ya Mungu. Tunatawala mafikiri ya watu na kuyafanya yapate kumutii Kristo.


Abisai akamwambia Daudi: “Leo Mungu amemutia adui yako katika mikono yako. Basi, uniache nimushindilie katika udongo kwa pigo moja tu la mukuki. Sitamupiga mara mbili.”


Siku hiyo, nitatimiza yale yote niliyosema tangu mwanzo mpaka mwisho juu ya Eli na juu ya jamaa yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ