29 kisha akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tano.
Nyuma ya mafuriko ya maji, Semu, Hamu na Yafeti, wana wa Noa, walipata watoto wanaume na wanawake. Hawa ndio wazao wao:
Yaredi akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa makumi sita na miwili.
Metusela akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa makumi sita na tisa.
Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.
Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.
Nyuma ya mafuriko ya maji, Noa aliishi miaka mia tatu na makumi tano,
Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!