Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini kwa vile maji yalikuwa yangali yakifunika inchi yote, yule njiwa hakupata pahali pa kutua, akarudilia Noa katika chombo. Noa akanyoosha mukono, akamutwaa na kumurudisha ndani ya chombo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 8:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Noa akangoja siku zingine saba, kisha akatuma tena yule njiwa.


Kisha Noa akatuma njiwa apate kuona kama maji yalikuwa yamepunguka juu ya inchi.


Ukuwe na utulivu mukubwa, ee nafsi yangu, kwa vyote Yawe amenitendea.


Nani hao wanaopita mbio kama mawingu, kama njiwa wanaoruka kwenda katika chicha zao?


Ikiwa kuna watu walioponyoka, watakimbilia kwenye milima kama njiwa waliotishwa katika bonde. Kila mumoja wao ataomboleza kwa ajili ya zambi zake.


“Mukuje kwangu ninyi wote munaosumbuka na kulemewa na mizigo mizito, nami nitawapumzisha.


Nimewaambia maneno haya kusudi mukuwe na amani, mukibaki katika umoja nami. Mutapata mateso katika dunia. Lakini mujipe moyo, kwa kuwa mimi nimepata ushindi juu ya vyote katika dunia.”


Hamutakuwa na raha yoyote pahali penu wenyewe pa kutulia wala kati ya mataifa hayo. Lakini Yawe atawapa huko wasiwasi wa moyo, kufifia kwa macho na mahangaiko ya ndani ya roho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ