7 akatuma kibombobombo inje, naye hakurudi, lakini aliruka kule na kule mpaka maji yalipokauka katika inchi.
Kisha siku makumi ine, Noa akafungua dirisha alilokuwa ametengeneza katika chombo hicho,
Kisha Noa akatuma njiwa apate kuona kama maji yalikuwa yamepunguka juu ya inchi.
Kule, utapata maji ya kunywa katika kijito kile. Tena nimewaamuru vibombobombo wakuletee chakula.”
Vibombobombo wakakuwa wanamuletea mukate na nyama, asubui na magaribi; akapata na maji ya kunywa katika kijito kile.
Ni nani anayewapa vibombobombo chakula chao, vitoto vyao vinaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na kule kwa njaa?
Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.
aina zote za kibombobombo,