15 Hapo, Mungu akamwambia Noa:
Siku ya makumi mbili na saba ya mwezi wa pili, inchi ilikuwa imekauka kabisa.
“Toka katika chombo, wewe pamoja na muke wako, wana wako na wake zao.
Zamani Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya manabii, mara nyingi na kwa namna nyingi.