Mwanzo 7:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200223 Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa na pumzi ya uzima katika dunia: wanadamu, nyama, viumbe vinavyotambaa na ndege wa anga. Vyote viliangamizwa katika dunia. Noa tu ndiye aliyebaki na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya chombo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |