20 Yaliongezeka hata kufunika milima karibu metre saba na nusu.
Utakitengeneza hivi: urefu wake metre mia moja makumi tatu na tatu, upana wake metre makumi mbili na mbili na urefu wake kwenda juu metre kumi na tatu.
Maji hayo yakakuwa mengi sana juu ya inchi, yakafunika milima yote mirefu katika inchi.
Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, chombo ikatua juu ya milima ya Ararati.
Uliifunika dunia kwa bahari kama nguo, na maji yakaimeza milima mirefu.
Kweli tumedanganyika sana kwa kutambikia huko kwenye vilima, hakika wokovu wa Israeli unatoka kwake Yawe, Mungu wetu.