19 Maji hayo yakakuwa mengi sana juu ya inchi, yakafunika milima yote mirefu katika inchi.
Maji yakaendelea kuongezeka zaidi juu ya inchi na chombo kikaelea juu yake.
Yaliongezeka hata kufunika milima karibu metre saba na nusu.
Akizuia mvua, inchi inakauka; akiifungulia, inchi inaharibika.
Kweli tumedanganyika sana kwa kutambikia huko kwenye vilima, hakika wokovu wa Israeli unatoka kwake Yawe, Mungu wetu.
Vilevile kufuatana na ile, dunia ya zamani iliangamizwa kwa mafuriko ya maji.