Mwanzo 7:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Siku hiyohiyo mvua ilipoanza kunyesha, Noa, muke wake na wana wake, Semu, Hamu na Yafeti, pamoja na wake zao, wakaingia ndani ya chombo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Baba zao au kaka zao wakikuja kutulalamikia tutawaambia: “Sisi tunawaomba muwahurumie watu wa Benjamina na kuwaacha watwae hao wanawake; maana hatukupata wanawake wa kutosha katika vita ya Yabesi-Gileadi. Na kwa sababu si ninyi wenyewe muliowapatia hao wabinti zenu, hamutahukumiwa kwamba mumevunja kiapo.”