22 Noa akafanya yote kama vile Mungu alivyomwamuru.
Kisha Abrahamu akamutahiri mwana wake Isimaeli, na kuwatahiri watumwa wanaume wote waliozaliwa katika nyumba yake na walionunuliwa kwa feza zake. Aliwatahiri wote siku hiyohiyo kama vile Mungu alivyomwamuru.
Kila aina yao waliingia dume na dike kama vile Mungu alivyomwamuru Noa. Kisha, Yawe akafunga mulango wa chombo nyuma ya Noa.
Noa akafanya yote kama vile Yawe alivyomwamuru.
wawiliwawili, dume na dike, wakaingia ndani ya chombo pamoja na Noa kama vile Mungu alivyomwamuru.
Basi, Musa alitimiza kwa ukamilifu kabisa maagizo yote ya Yawe.
Akatandaza pazia juu ya hema takatifu na kuweka kifuniko cha hema juu yake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
Kisha akaweka lile Sanduku la Agano ndani ya hema na kutundika pazia, na kwa namna hiyo akafunika Sanduku la Agano, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
na juu yake akapanga mikate iliyotolewa kwa Yawe, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
Mule, mbele ya Yawe, akawasha taa zake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
na kufukiza ubani wenye harufu nzuri juu yake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
Kila mara walipoingia ndani ya hema au walipokaribia ile mazabahu, walinawa, kama vile Musa alivyoamuriwa na Yawe.
Basi, Musa na Haruni wakafanya hivyo. Hakika, walifanya kama vile Yawe alivyowaamuru.
Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mutoto pamoja na mama yake na kurudia katika inchi ya Israeli.
Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.
Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”