10 Noa alikuwa na wana watatu: Semu, Hamu na Yafeti.
Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.
Mungu aliona kwamba dunia imeharibika na kujaa mateso makali.
Hizi ndizo habari za Noa na uzao wake. Noa alikuwa mwenye haki na mukamilifu kati ya watu wa wakati ule. Aliishi katika ushirika na Mungu.