Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 50:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kama kawaida, siku makumi ine zilihitajika kwa kazi hiyo. Wamisri nao wakaomboleza kifo cha Yakobo kwa muda wa siku makumi saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 50:3
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipofika katika uwanja wa kupepetea ngano wa Atadi, ngambo ya muto Yordani, waliomboleza kwa huzuni kubwa, naye Yosefu akamufanyia baba yake marehemu kilio cha siku saba.


Nyuma ya kilio kumalizika, Yosefu akawaambia watu wa jamaa ya mufalme wa Misri: “Ikiwa nimepata kukubaliwa mbele yenu, tafazali muzungumuze na mufalme kwa ajili yangu kwamba baba yangu aliniapisha, akisema:


Waisraeli walipoona kwamba Haruni amekufa, wakafanya kilio cha siku makumi tatu.


na kubadilisha nguo zake za kitumwa. Atakaa muda wa mwezi muzima kwa kumwomboleza baba yake na mama yake. Kisha mwanaume huyo anaweza kumwoa.


Waisraeli wakaomboleza kifo chake kwa muda wa siku makumi tatu kwenye inchi ya bonde la Moabu. Kisha siku za kilio na maombolezo ya kifo chake zikaisha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ