Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 50:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Yosefu akaendelea kukaa katika inchi ya Misri pamoja na jamaa yote ya baba yake. Aliishi kwa muda wa miaka mia moja na kumi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 50:22
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, musiogope. Mimi nitawapa chakula pamoja na watoto wenu.” Basi akawafariji na kusema nao vizuri.


Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.


Basi, Yosefu akakufa kule Misri, akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi. Nao wakapakaa mwili wake dawa kusudi usioze, wakauweka katika sanduku kule Misri.


Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu makumi saba. Wakati ule Yosefu alikuwa amekwisha kutangulia kukaa kule Misri.


Nyuma ya mambo hayo, Yoshua mwana wa Nuni na mutumishi wa Yawe, akakufa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ