Afazali tumwuzishe kwa hawa Waisimaeli, lakini tusiguse maisha yake, maana yeye ni ndugu yetu; yeye ni damu moja nasi.” Wandugu zake wakakubaliana naye.
Mutu huyu alitolewa kwenu kufuatana na mupango uliokusudiwa na kujulikana na Mungu tangu zamani. Nanyi mulimwua, kwa kumutia katika mikono ya wenye zambi wamutundike juu ya musalaba.