16 Kwa hiyo wakamupelekea Yosefu ujumbe, wakisema: “Baba yako, mbele hajakufa, aliagiza hivi:
Nyuma ya kifo cha baba yao, wandugu za Yosefu walisemezana: “Labda Yosefu atatuchukia na kutulipiza mabaya yote tuliyomutendea.”
‘Mumwambie Yosefu kwa ajili yangu: Tafazali uwasamehe wandugu zako makosa yao mabaya na maovu yote waliyokutendea.’ Sasa basi, tafazali usamehe uovu tuliokutendea sisi watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yosefu alipopata ujumbe huu, akalia.
Kuogopa watu ni kujitega mwenyewe, lakini anayemutumainia Yawe yuko salama.