Mwanzo 50:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 wakamupeleka mpaka inchi ya Kanana, wakamuzika katika pango lililokuwa katika shamba kule Makipela, upande wa mashariki wa Mamure. Pango pamoja na shamba lile Abrahamu alikuwa amelinunua kwa Efuroni Muhiti, kusudi pakuwe pahali pake pa kuzikia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |