9 Wakati Enosi alipokuwa na umri wa miaka makumi tisa, akazaa Kenani.
Kisha kuzaa Kenani, Enosi akaishi miaka mia nane kumi na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.
Seti akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa kumi na miwili.