7 Kisha kuzaa Enosi, Seti akaishi miaka mia nane na saba, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha kuzaa Seti, Adamu akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.
Wakati Seti alipokuwa na umri wa miaka mia moja na mitano, akazaa Enosi.
Seti akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa kumi na miwili.