Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 5:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 5:5
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa jasho la uso wako utajipatia chakula, mpaka utakaporudi katika udongo, maana ulitwaliwa katika udongo. Wewe ni mavumbi na utarudi katika mavumbi.”


Enosi akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na mitano.


Kisha kuzaa Seti, Adamu akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.


Wakati Seti alipokuwa na umri wa miaka mia moja na mitano, akazaa Enosi.


Seti akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa kumi na miwili.


Sisi wote tutakufa. Sisi ni kama maji yaliyomwangika chini ambayo hayawezi kuzoleka. Lakini Mungu hataki Abusaloma akufe sasa au aendelee kuishi mbali naye.


Hawa ndio babu wa kwanza waliofuatana kwa kila kizazi: Adamu Seti Enosi Kenani Mahalaleli Yaredi Hanoki Metusela Lameki Noa Wana wa Noa walikuwa: Semu, Hamu na Yafeti.


Kweli! Ninajua utanipeleka tu katika kifo, pahali wote wanaoishi watakapokutana.


Unikumbuke, ee Bwana. Maisha ni mafupi! Umewaumba wanadamu wote kwa bure?


Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!


watu wanaogopa mupando na kutishwa katika njia, muti wa lozi unachanua maua yake meupe, mapanzi hayawezi kuruka, hakuna hamu tena, mwanadamu anaelekea kwenye makao yake ya milele, waombolezaji wanasambaa katika njia,


mavumbi yanarudilia inchi tena, na roho inamurudilia Mungu aliyeipana.


Maana, wanaoishi wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui kitu chochote. Hawana malipo tena. Hakuna ukumbusho juu yao, wamesahauliwa kabisa.


Vaa vizuri, ujipakae mafuta kwenye kichwa.


Mujue kwamba uzima wa kila mutu ni katika mikono yangu, ikiwa uzima wa muzazi na uzima wa mutoto. Yeyote anayetenda zambi, ndiye atakayekufa.


Mumupende Yawe, Mungu wenu. Muitii sauti yake na kuambatana naye. Kama munafanya hivyo, mutapata maisha marefu na kuishi katika inchi ambayo Yawe aliwaahidi wazee wenu, Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atawapa.”


Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ