32 Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.
Nyuma ya mafuriko ya maji, Semu, Hamu na Yafeti, wana wa Noa, walipata watoto wanaume na wanawake. Hawa ndio wazao wao:
Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
Hao ndio jamaa za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yote yalienea katika dunia nyuma ya mafuriko ya maji.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misiraimu, Puti na Kanana.
Lameki akakufa akiwa na umri wa miaka mia saba makumi saba na saba.
Wakati watu walipoanza kuongezeka katika dunia na kuzaa wabinti,
Noa alikuwa na wana watatu: Semu, Hamu na Yafeti.
Siku hiyohiyo mvua ilipoanza kunyesha, Noa, muke wake na wana wake, Semu, Hamu na Yafeti, pamoja na wake zao, wakaingia ndani ya chombo.
Noa alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati mafuriko ya maji yalipotokea juu ya inchi.