31 Lameki akakufa akiwa na umri wa miaka mia saba makumi saba na saba.
Kisha kuzaa Noa, Lameki akaishi miaka mia tano makumi kenda na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.
Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.