30 Kisha kuzaa Noa, Lameki akaishi miaka mia tano makumi kenda na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.
Akamwita mutoto yule Noa, akisema: “Mutoto huyu ndiye atakayetufariji kutokana na kazi yetu ngumu tunayofanya kwa mikono yetu katika inchi ambayo Yawe alilaani.”
Lameki akakufa akiwa na umri wa miaka mia saba makumi saba na saba.
Kisha kuzaa Seti, Adamu akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.