23 Enoki aliishi miaka mia tatu makumi sita na mitano.
Enoki alikuwa anashirikiana na Mungu. Kisha kuzaa Metusela, Enoki aliishi miaka mia tatu, na kupata wana wengine na wabinti.
Alikuwa akishirikiana na Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimupeleka.
Ingawa mutu huyo ataishi miaka elfu mbili, lakini hafurahii maisha, basi yeye ni kama yule mutoto. Wote wawili wanakwenda fasi moja.