16 Kisha kuzaa Yaredi, Mahalaleli akaishi miaka mia nane na makumi tatu, na kupata wana wengine na wabinti.
Wakati Mahalaleli alipokuwa na umri wa miaka makumi sita na mitano, akazaa Yaredi.
Mahalaleli akakufa akiwa na umri wa miaka mia nane makumi tisa na mitano.