13 Kisha kuzaa Mahalaleli, Kenani akaishi miaka mia nane na makumi ine, na kupata wana wengine na wabinti.
Wakati Kenani alipokuwa na umri wa miaka makumi saba, akazaa Mahalaleli.
Kenani alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na kumi.
Kisha kuzaa Seti, Adamu akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.