11 Enosi akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na mitano.
Kisha kuzaa Kenani, Enosi akaishi miaka mia nane kumi na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.
Wakati Kenani alipokuwa na umri wa miaka makumi saba, akazaa Mahalaleli.
Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.