Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 49:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Ninalaani hasira yao kali sana na kasirani yao isiyokuwa na huruma. Nitawatawanya katika inchi ya Yakobo, nitawasambaza katika inchi ya Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 49:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Amunoni akamuchukia Tamari kupita kipimo. Akamuchukia Tamari kuliko alivyomupenda zamani. Akamwambia Tamari: “Simama ondoka mara moja.”


Katika kabila la Gadi walipewa Ramoti katika Gileadi pamoja na malisho yake, Mahanaimu pamoja na mashamba yake ya malisho,


Jiwe ni zito na muchanga vilevile, lakini uchokozi wa mupumbafu ni muzito zaidi.


Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.


Hesabu ya miji mutakayowapa Walawi katika urizi wa Waisraeli itategemea ukubwa wa kabila; kabila kubwa litatoa miji mingi na kabila dogo litatoa michache. Kila kabila litatoa miji yake kwa ajili ya Walawi kulingana na eneo litakalorizi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ