5 “Simeoni na Lawi ni wandugu: wanatumia silaha zao kutesa kwa ukali,
Mutu muvivu katika kazi yake ni ndugu ya muharibifu.
Eneo linalopakana na eneo la Benjamina kutoka upande wa mashariki kuelekea upande wa magaribi litakuwa la kabila la Simeoni.
Kabila la Simeoni, Semweli mwana wa Amihudi.
Waisraeli wakawapa Walawi miji hiyo pamoja na vijiji vya malisho yao, kama Yawe alivyomwagiza Musa.