32 Shamba hilo na pango lake lilinunuliwa kwa Wahiti.”
Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,
Kule ndiko walikozikwa Abrahamu na muke wake Sara, kule ndiko walikozika Isaka na muke wake Rebeka, na kule ndiko nilikomuzika Lea.
Yakobo alipomaliza kuwaagiza wana wake, akarudisha miguu yake juu ya kitanda, akakufa na kukutana na wazee wake.